Anaitwa latifa, ni model wa wiki. Kwa mujibu wa mwenyewe anadai yuko kidato cha pili lakini kwa mujibu wa baba yake anasema hata vidudu bado. Je enzi hizo wewe ulikuwaje? yangu nitaitupia kesho!!!!!!
Kijana wangu wa mambo ya burudani alikuwa ndani ya dar live mbagala ya pale london!!! Daaaaa jamaaa alikuwa very fan!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Katika muendelezo wa maisha ya kitaa, usikose hekima kibao za maisha na kitaa kwa ujumla Mtaenjoy sana na Professori wenu w a kitaa!!!!! Anza na mapozi mbalimbali ya kitaaaa! Unaweza ukatupia picha yako tuirushe kama hiyo hapo uuze sura kwa fans wengi Duniani!! Email ni hemmycampbell@yahoo.co.uk